Friday 18 May 2012

DAD MAKING HEADLINES WITH THE PRIME MINISTER OF TANZANIA.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wawekezaji kutoka kampuni ya Endenville Energy PLC ya Uingereza ambao wanakusudia kuwekeza katika umeme wa makaa ya mawe nchini.Wawekezaji hao ni Mwenyekiti wa Kampuni Simon Rollason  (kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni, Mark Pryor (wapili kushoto) na kushoto ni Mwenyeji wao, Cassiano Kaegele,  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Upendo Group ya Sumbawanga.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment